Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wale wote mlioudhuria na mliousika katika kufanikisha tamasha la uzindu wa album yangu ya pili ya NIACHENI NI MFUATE YESU uliofanyika pale AKUZAMU INTERNATIONAL lililopo posta mpya sina cha kuwalipa bali ninachoweza kusema Mungu awabariki kwa kujitolea kwenu kwa hali na mali shukran za pekee ziwaendee washirika na uongozi mzima wa AKUZAMU INTERNATIONAL MINISTRY,MCHUNGAJI WANGU EDWARD AMRI
MCHUNGAJI KIONGOZI WA AKUZAMU
Pia shukrani zangu ziende kwa wasanii wote wa bongo movie na watangazaji mbili mbali kamba vile
zomboko kutoka itv
maimatha kutoka tbc
waimbaji na dotnata
tino muya
iren uwoya
pia shukrani zangu ziende kwa waimbaji wote wa nyimbo za injili walionisupport kama vile enock jonathan,unity family,madam ruth na chriss na wote mlioshiriki kwa njia moja ama nyingine Mungu awabariki sana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment